Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
29 - رمضان - 1441 هـ
22 - 05 - 2020 مـ
12:20 مساءً
(بحسب التقويم الرسمي لأمّ القُرى)

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=40188
___________

من خليفة الله على العالمين إلى رئيس الصين شي جين..
Kutoka Kwa Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Kwa Raisi Wa China Shi Jin ..

Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin, Ama Baada Ya Hapo..

Na Enye Wapendwa wangu ansar walio tangulia walio bora pembezoni tafauti katika dunia kwenye mataifa ya binadamu sikizeni na mufahamu kua hakika kila tokeo na mazungumzo yake, Basi itimu kurakiz peke kwa Bayana za Corona na itimu kurakiz zaidi siku hizi kusambaza Bayana ambao tumeiandika kwa inwani ifwatayo: (Virusi Va Corona Na Bayana Ya Uwamuzi Wala Sio Mchezo) imeisha inwani ya Bayana, Na mujuwe kwa yakini kua inao shifa kwa yalio ndani ya vifua na uwongofu na rahma kwa waumini na Allah kwa yale nayo yasema ni Shahidi Wakili, Ispokua atakao kataa akafanya kiburi baada kubainika kwake haki basi musiskitike ju ya watu wahalifu wenye kiburi, Eee hakika wawe mbali watu madhalimu wale ambao ikibainika kwao njia ya haki kulekea kwa Mola Mlezi wao hawaichukui ni njia kwa kiburi na kujighuri basi watasema karibuni (7hijran Ma7hjuran Quarantine Kupindukia}, Kisha wataomba kuteketea, Na hapana na wala hawatopata pasi na Allah rafiki wala munusura ili awaondoshe adhabu Yake nawao ilhali wanamfanyia kiburi mlinganizi wa Allah wa kiulimwengu kwa kufwata kitabu chake Al'Quran Al3adhim Rahma Kwa Ulimwengu, Basi Atakae kata Rahma ya Allah kwasababu ya kufanya kiburi ju ya Khalifa wa Allah na Mtumwa wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa Wa Allah Mkuu Katika Kitabu Basi ju yake adhabu ya nguvu kutoka kwa Allah; Na vipi ju ya khalifa wa Allah wanamfanyia kiburi? Hawo watapata nasibu yao katika adhabu, Wanao jighuri kwa kiburi chao ilhali wao ni wadogo mbele ya Allah hawana uzani. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Je, aliye kuwa maiti kisha tukamhuisha, na tukamjaalia nuru inakwenda naye mbele za watu, mfano wake ni kama aliyoko gizani akawa hata hawezi kutoka humo? Kama hivyo makafiri wamepambiwa waliyo kuwa wakiyafanya (122) Kadhaalika katika kila mji tumewajaalia wakubwa wa wakosefu wao wafanye vitimbi ndani yake. Na wala hawafanyii vitimbi isipo kuwa nafsi zao, nao hawatambui (123) Na inapo wajia Ishara, wao husema: Hatutoamini mpaka tupewe mfano wa walio pewa Mitume wa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi kuliko wote kujua wapi anaweka ujumbe wake. Itawafikia hao walio kosa udhalili na adhabu kali kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya vitimbi walivyo kuwa wakivifanya (124)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].
(أَوَمَن كَانَ مَیۡتࣰا فَأَحۡیَیۡنَـٰهُ وَجَعَلۡنَا لَهُۥ نُورࣰا یَمۡشِی بِهِۦ فِی ٱلنَّاسِ كَمَن مَّثَلُهُۥ فِی ٱلظُّلُمَـٰتِ لَیۡسَ بِخَارِجࣲ مِّنۡهَاۚ كَذَ ٰ⁠لِكَ زُیِّنَ لِلۡكَـٰفِرِینَ مَا كَانُوا۟ یَعۡمَلُونَ ۝ وَكَذَ ٰ⁠لِكَ جَعَلۡنَا فِی كُلِّ قَرۡیَةٍ أَكَـٰبِرَ مُجۡرِمِیهَا لِیَمۡكُرُوا۟ فِیهَاۖ وَمَا یَمۡكُرُونَ إِلَّا بِأَنفُسِهِمۡ وَمَا یَشۡعُرُونَ ۝ وَإِذَا جَاۤءَتۡهُمۡ ءَایَةࣱ قَالُوا۟ لَن نُّؤۡمِنَ حَتَّىٰ نُؤۡتَىٰ مِثۡلَ مَاۤ أُوتِیَ رُسُلُ ٱللَّهِۘ ٱللَّهُ أَعۡلَمُ حَیۡثُ یَجۡعَلُ رِسَالَتَهُۥۗ سَیُصِیبُ ٱلَّذِینَ أَجۡرَمُوا۟ صَغَارٌ عِندَ ٱللَّهِ وَعَذَابࣱ شَدِیدُۢ بِمَا كَانُوا۟ یَمۡكُرُونَ) صدق الله العظيم. [سورة الأنعام 122 - 124]

Basi bado wanaendelea Jeshi la Allah lisonekana linashambulia vita vake va kiulimwengu ya kuendelea usiku na mchana kwa mzunguko wa masa shirini na inne bila kupumzika, Nao hawachoki nawo ni katika wanajeshi wake walio fichika ambao hawaonekani kwa jicho la kawaida kwajili ya udogo wa saizi yake, Nayo ni ile wanao ita Virusi ya corona wala sio corona, ispokua imewaghuri mwanzo wa jambo kufanana shakli yake ilio dhihirika na virusi ambazo maarufu kwao kabla ambazo zile wanazo zijua, Lakini nazo ni tafauti katika jini zake na utenda kazi wake utafauti kabisa jumlatan wa tafsilan, Lakini jina lake mwanzo ni corona kama vile wanadhani mwanzo wa jambo iliongoza katika tarifa za habari na kwa ulimi za walimwengu (corona) pamoja ya kua ni tafauti kabisa jumlatan wa tafsilan kutokana na virusi zote, ila tu imefanana mwanzo wa jambo ki shakli yake tu na ikatafautiana jini yake, Bali Wallahi Ambae Hapana Mola Ispokua Yeye Al'Wahid Al'Qahar kua ni kiumbe hai umbile na kugawanyika na inao kuja ni bala zaidi na uchungu zaidi na shari imenyoshwa, Na hakika watakimbia kuipa mngongo wote ma tabibu wa binadamu.

Nayo hivo hivo ni kiumbe hai kipya ju ya wanadamu na kubomoa ilimu ya utabibu ya kiviziki yote, Na itafanya ilimu ya watu ile inao husiana na ilimu ya tiba ya kifiziki (0) Sufuri upande wa kushoto kwakua wao asilani hawana ujuzi nayo ki ilimu.

Lakini virusi pana inao kuja ina nguvu zaidi na kuvamia katika adhabu pana mara wao watakata tama, Wala sio katika sehemu ya kuvuta pumzi peke bali hakuna kitu ya kufananisha baina virusi ya corona covid19 na virusi pana inao kuja ewe shi jin raisi wa china ewe ambae wanadai kua wao wameidhibiti ju ya adhabu ya Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu subhanahu Ametukuka Wa Ta3ala 3uluwan Kabiran Na Wao Wanajua Kua Wao Ni Warongo.

Na nawabashiria waso amini Mungu Katika China Na viongozi madhalimu kama wao wote na wote madhalimu wafisidifu kwa aina ya vairusi mpya nayo ni virusi inao shambulia ambao pana nyeusi ya ma virusi inao nguvu zaidi kuvamia na zaidi kwa mbinu; Bali hakuna kamwe uwezo wa kufanana baina yake na baina ya munao ita covid 19, Nayo ni ile ambao watatoroka nayo wanasayansi matabibu kuipa mngongo wala hawarudi wameshindwa jeshi la matabibu wa binadamu wote ju chini ndio ianguke Shirika la Afya Ulimwenguni Tupu kwenye viti vyake vya enzi basi hawato'wanusuru kwenu mbele ya adhabu ya Allah Kitu, Bali hawatoweza kuwasaidia wala wao kushinda.

Basi sikizeni na mufahamu na mutie akili yale nitakayo yasema kwenu, Hakika ya hizi virusi zinazo tokea mpya kiongozi Adhimu Anaziongoza wala nyinyi hamumwezi, Na jeshi lake ambao wadogo wanapokea amri moja kwa moja kwa ufufunuo kutoka kwa Allah ndio wanafanya yale wanavo amrishwa kutoka chanzo cha shuguli kwa Kiongozi wa Juu, Huyo kwenu Ni Mola Mlezi wenu Alie Juu Katika Ufalme Anawafufunulia moja kwa moja kwa ma jeshi yake ambao wadogo nini wafanya ndio wafanya wanao amrishwa na Yeye Yuko na wao kwa Neno La Uwezo Wake Subhanahu Ametukuka, Huyo Kwenu Ni Allah Mola Mlezi wa ulimwengu ambao nyinyi hamumwamini mulhidina kwake ewe ambae ni raisi wa china shi jin ambae ametangaza vita ju ya Allah na dini Yake na Qurani Yake na waislamu wa china wazi wazi mchana ju ya waislamu katika china akafunga nyumba za Allah katika uchina, Bali amekataza waislamu mpaka kuswali katika nyumba zao na akachukua kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim akakichoma kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim Uwaduwi na Dhulma.

Basi Sikizeni na mufahamu yale ntakayo yasema kwa haki ewe ambae ni raisi wa china shi jin natoa Qasam kwa Allah Al3adhim hakika mutafungua nyumba za Allah na nyinyi ni wanyonge na wote wale ambao wamefunga nyumba za Allah wamejidhulumu nafsi zao kwa hoja ya kukingana hatimai watayafungua na ndani yake watakimbia na hakika sisi ni wakweli.

Na kwa hali zote enyi ma3ashara ya ma ansar walio tangulia walio bora kutoka pembe tafauti duniani na itimu kurakiz peke ju ya kusambaza ma Bayana tatu kwa daraja ya kwanza, Bayana ambao tumeiandika kwa inwani ifwatayo; (Virusi Va Corona Na Bayana Ya Ufafanuzi Na Wala Sio Mchezo) imeisha Inwani ya Bayana, Na mujuwe kwa yakini kua ndani yake tiba kwa yale yaliomo vifuani na uongofu na Rahma kwa waumini.
Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..

Mtumwa Wa Allah Na Khalifa Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
عبدُ الله وخليفتهُ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
____________